DK. MGIMWA : SERIKALI KUCHUNGUZA
HOSPITALI BINAFSI

Kauli hiyo ilitolewa na Waziri wa Fedha, Dk. William Mgimwa (pichani), alipotakiwa na waandishi wa habari kutoa msimamo wa serikali kuhusu hospitali binafsi zinazotoza fedha nyingi kwa wagonjwa.
Dk. Mgimwa alisema baada ya uchunguzi huo Serikali itachukua hatua madhubuti dhidi ya Serikali kwani ilitarajiwa kuwa kusamehewa kodi kungewanufaisha wananchi kwa kupata matibabu kwa gharama nafuu.
No comments:
Post a Comment