![]() |
NEEMA KIJIJI CHA BUGANGO NA KAKUNYU |
"HAKUNA KINACHO SHINDIKANA KATIKA MIKONO YA MUNGU"
Eneo lenye ukame latatua kitendawali hiki cha uhaba wa maji
"MWACHENI MUNGU AITWE MUNGU" alimalizia kwa maneno hayo.....
Kwakweli maji ni kitu muhumu sana kwa mahitaji ya mwanadamu ukikosa maji uhai haupo pale na Kamanda wa Uhamiaji wa eneo hili ali washauti wakaaji wa eneo hilo kukihifadhi chanzo hicha cha chemichemi hii kisije kikaharibiwa na mifugo ...na kushauri watengeneze mifereji itakayo tenganisha kwa matumizi ya majihayo na mifugo na binadamu...
Ng'ombe wakiwa malishoni na wakielekea kwenye eneo la kujipatia maji hayo yaliyo shushwa na Mungu.....WANANCHI WALIKUWA WAKIRUMBANA NA KUSEMA HAYA SI MAMBO YA KAWAIDA BALI HUENDA NI SALA ZETU TUNAZO MPELEKEA MUNGU NA LEO KAZISIKIA KWANI HAPA MAJI YALIKUWA ADIMU SANA dumu la maji lilifukia Shs/= za Kiganda 1,500/= hadi 2.000/=
NIVYEMA TUKAMSUFU MUNGU waliishia hapo na maBlioga wa Bogango Border, Boshazi, Kwetu Tanga, Zigua Simo na Njero wakiondoka katika kijiji cha maeneo ya Bandama na Kotoboka wakiwaacha wananchi wakishikwa na Butwaaaa.
No comments:
Post a Comment