Saturday 27 July 2013

TINAIPONGEZA SEREKALI......OYEEEEEEEEE!!!!!


Mishahara mipya
serikalini 2013


Dar. Serikali imetangaza mishahara mipya kwa watumishi wa umma itakayoanza kutumika mwezi huu, huku kima cha chini kikiongezwa kwa asilimia 41.18 kutoka Sh 170,000 hadi Sh240,000.
Vilevile, mishahara ya watumishi wengine wa umma imeongezwa kwa wastani wa asilimia 8.41. Waraka namba moja kwa watumishi wa umma uliotolewa na Katibu Mkuu, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, George Yambesi Julai 2 mwaka huu, unaeleza kuwa marekebisho hayo ya mishahara yatahusu watumishi wa serikali kuu na watumishi wa serikali za mitaa.
Wengine watakaonufaika na marekebisho hayo ni watumishi walioshikizwa kwenye taasisi za umma na watumishi ambao watakuwa kwenye likizo inayoambatana na kuacha kazi, kustaafu kazi au kumaliza mikataba baada ya Julai mosi mwaka huu.
Waraka huo umeonyesha kuwa watumishi wa serikali ambao wanapata mishahara binafsi isiyo ndani ya viwango vya mishahara ya serikali hawatahusika na marekebisho hayo.
Mei 29 mwaka huu, Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka, aliliambia Bunge, kwamba Serikali imekamilisha majadiliano ya kuongeza kima cha chini cha mshahara katika sekta 12 binafsi, kitakachoanza kutumika rasmi Julai mosi.
Waziri Kabaka alitaja sekta hizo kuwa ni ya Ujenzi, Shule Binafsi, Nishati, Viwanda na Biashara, Hoteli na Huduma za Majumbani, Ulinzi Binafsi, Madini, Afya, Uvuvi na Huduma za Majini, Usafirishaji, Mawasiliano na Kilimo. Kwa mujibu wa Kabaka, mishahara imepanda kwa kiwango cha asilimia kati ya 21 na 65 huku Afya ikiongoza kwa kuongezwa ikifuatiwa na sekta ya hoteli na huduma za nyumbani yenye asilimia 55.
Mei mosi mwaka huu akiwa mkoani Mbeya, Rais Jakaya Kikwete, aliahidi unafuu wa maisha kwa wafanyakazi kwa kuangalia uwezekano pia wa kupunguza kodi kwenye mishahara, Lipa Kadiri Unavyopata (PAYE).
Kuhusu kuongeza mishahara, Rais Kikwete aliahidi wafanyakazi wote kwamba Serikali itaendelea kuiongeza kulingana na hali ya uchumi wa nchi. Waraka huo unaonyesha kuwa mishahara mipya kwa watumishi wa serikali kada ya masharti (operational service), ngazi ya mshahara na mshahara mpya kwenye mabano ni;
TGOS A
TGOS A 1. (Sh240,000), TGOS A 2. (Sh245,600), TGOS A 3. (Sh251,200), TGOS A 4. (Sh256,800), TGOS A 5. (Sh262,400), TGOS A 6. (Sh268,000), TGOS A 7.(Sh272,000), TGOS A 8(Sh279,000), TGOS A 9.(Sh284,800), TGOS A 10(Sh290,400), TGOS A 11(Sh296,000), TGOS A 12(Sh301,600), TGOS A 13(Sh 307,200), TGOS A 14(Sh312,800), TGOS A 15(Sh 318,400), TGOS A 16(Sh324,000), TGOS A 17(Sh329,600) na TGOS A 18(Sh335,200).
TGOS B
TGOS B 1. (Sh347,000), TGOS B 2. (Sh356,500) TGOS B 3 . (Sh366,000), TGOS B 4 . (Sh375,500), TGOS B 5. (Sh385,000), TGOS B 6. (Sh394,500), TGOS B 7. (Sh404,000), TGOS B 8. (Sh413,500), TGOS B 9. (Sh423,000), TGOS B 10. (Sh432,500), TGOS B 11 . (Sh442,000) na TGOS B 12. (Sh451,500).
TGOS C
TGOS C 1 . (Sh471,000), TGOS C 2 . (Sh482,000), TGOS C 3 . (Sh493,000), TGOS C 4. (Sh504,000), TGOS C 5. (Sh515,000), TGOS C 6. (Sh526,000), TGOS C 7. (Sh537,000), TGOS C 8. (Sh548,000), TGOS C 9. (Sh559,000), TGOS C 10. (Sh570,000), TGOS C 11. (Sh581,000) na TGOS C 12. (Sh592,000).
Watumshi wa serikali wenye taaluma mbalimbali
TGS A
TGS A 1. (Sh249,000), TGS A 2. (Sh255,600), TGS A 3. (Sh262,200 ), TGS A 4. (Sh268,800 ), TGS A 5. (Sh275,400), TGS A 6. (Sh282,000), TGS A 7. (Sh288,600 ), na TGS A 8. (Sh295,200).
TGS B
TGS B 1. (Sh311,000), TGS B 2. (Sh319,500), TGS B 3. (Sh328,000), TGS B 4. (Sh336,500), TGS B 5. (Sh345,000), TGS B 6. (Sh353,500), TGS B 7. (Sh362,000), TGS B 8. (Sh370,000), TGS B 9. (Sh379,000) na TGS B 10. (Sh 387,500).
TGS C
TGS C 1. (Sh410,000), TGS C 2. (Sh420,000), TGS C 3. (Sh430,000), TGS C 4. (Sh440,000), TGS C 5. (Sh450,000), TGS C 6. (Sh460,000), TGS C 7. (Sh470,000) na TGS C 8. (Sh480,000). TGS C 9. (Sh490,000), TGS C 10. (Sh500,000), TGS C 11. (Sh510,000), TGS C 12. (Sh520,000).
TGS D
TGS D 1. (Sh567,000), TGS D 2. (Sh578,500), TGS D 3. (Sh590,000), TGS D 4. (Sh601,500), TGS D 5. (Sh613,000), TGS D 6. (Sh 624,500), TGS D 7. (Sh636,000), TGS D 8. (Sh647,500), TGS D 9. (Sh659,000), TGS D 10. (Sh 670,500), TGS D 11. (Sh 682,000),na TGS D 12. (Sh 693,500)
TGS E 1. (Sh751,000), TGS E 2. (Sh766,500), TGS E 3. (Sh782,000), TGS E 4. (Sh797,500), TGS E 5. (Sh813,000), TGS E 6. (Sh828,500), TGS E 7. (Sh844,000), TGS E 8. (Sh859,500), TGS E 9. (Sh875,000), TGS E 10. (Sh890,500), TGS E 11. (Sh906,000), na TGS E 12. (Sh912,500).
TGS F
TGS F 1. (Sh1,003,000 ), TGS F 2. (Sh 1,022,400), TGS F 3. (Sh 1,044,800), TGS F 4. (Sh1,061,200), TGS F 5. (Sh 1,080,600), TGS F 6. (Sh1,100,000), TGS F 7. (Sh1,119,400), TGS F 8. (Sh 1,138,800), TGS F 9. (Sh 1,158,200), TGS F 10. (Sh1,177,600), na TGS F 11. (Sh 1,197,000) TGS F 12. (Sh 1,216,400).
TGS G
TGS G 1. (Sh 1,299,000), TGS G 2. (Sh 1,324,500), TGS G 3. (Sh 1,350,000), TGS G 4. (Sh 1,375,500), TGS G 5. (Sh 1,401,000), TGS G 6. (Sh 1,426,500), TGS G 7. (Sh 1,452,000), TGS G 8. (Sh 1, 477,500), TGS G 9. (Sh 1,503,000), TGS G 10. (Sh 1,528,500), TGS G 11. (Sh 1,554,000), na TGS G 12. (Sh 1,579,500).
TGS H
TGS H 1. (Sh 1,672,000), TGS H 2. (Sh 1,722,000), TGS H 3. (Sh 1,772,000), TGS H 4. (Sh 1,822,000), TGS H 5. (Sh 1,872,000), TGS H 6. (Sh 1,922,000), TGS H 7. (Sh 1,972,000), TGS H 8. (Sh 2,022,000), TGS H 9. (Sh2,072,000), TGS H 10. (Sh 2,122,000), TGS H 11. (Sh 2,172,000) na TGS H 12. (Sh 2,222,000).
TGS I
TGS I-1. (Sh2,317,000), TGS I-2.(Sh 2,413,000), TGS I-3. (Sh 2,509,000) na TGS I-4.(Sh 2,605,000).
TGHS I (Sh 2,800,000).
TGHS J
TGHS J (Sh 2,900,000)
TGHS K
TGHS K (Sh 3,100,000)
TGHS L
TGHS L (Sh 3,400,000)
Watumishi wa Mahakama
TJS 1
TJS 1.1. (Sh 510,000), TJS 1.2. (Sh 535,000), TJS 1.3. (Sh 560,000), TJS 1.4. (Sh 585,000), TJS 1.5. (Sh 610,000), na TJS 1.6. (Sh 635,000) na TJS 1.7. (Sh 660,000).
TJS 2
TJS 2.1. (Sh 770,000), TJS 2.3. (Sh 805,000), TJS 2.3. (Sh 840,000), TJS 2.4. (Sh 875,000), TJS 2.5. (Sh 910,000), TJS 2.6. (Sh 945,000), na TJS 2.7. (Sh 980,000).
TJS 3
TJS 3.1. (Sh 1,075,000), TJS 3.2. (Sh 1,115,000), TJS 3.3. (Sh 1,155,000), TJS 3.4. (Sh 1,195,000), TJS 3.5. (Sh 1,235,000), TJS 3.6. (Sh 1,275,000), na TJS 3.7. (Sh 1,315,000).
TJS 4
TJS 4.1. (Sh1,420,000), TJS 4.2. (Sh 1,470,000), TJS 4.3. (Sh 1,520,000), TJS 4.4. (Sh 1,570,000), TJS 4.5. (Sh 1,620,000), TJS 4.6. (Sh 1,670,000), na TJS 4.7. (Sh 1,720,000).
TJS 5
TJS 5.1. (Sh 1,805,000), TJS 5.2. (Sh1,875,000), TJS 5.3. (Sh 1,945,000), TJS 5.4. (Sh 2,015,000), TJS 5.5. (Sh 2,085,000), na TJS 5.6. (Sh 2,155,000).
TJS 6
TJS 6.1. (Sh 2,250,000), TJS 6.2. (Sh 2,350,000), TJS 6.3. (Sh 2,450,000), TJS 6.4. (Sh 2,550,000), na TJS 6.5. (Sh 2,650,000).
TJS 7
TJS 7 (Sh 3,560,000)
TJS 8
TJS 8. (Sh 4,050,000)
TJS 9
TJS 9. (Sh 4,480,000)
TJS 10
Watumishi wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali
AGCS 1
AGCS 1.1. (Sh 360,000), AGCS 1.2. (Sh 380,000), AGCS 1.3. (Sh 400,000), AGCS 1.4. (Sh 420,000), AGCS 1.5. (Sh 440,000), AGCS 1.6. (Sh 460,000), AGCS 1.7 (Sh 480,000).
AGCS 2
AGCS 2.1.(Sh 510,000), AGCS 2.2.(Sh 534,700), AGCS 2.3.(Sh 559,000), AGCS 2.4.(Sh 584,100), AGCS 2.5.(Sh 608,800), AGCS 2.6.(Sh 633,500), AGCS 2.7.(Sh 658,200).
AGCS 3
AGCS 3.1.(Sh770,000), AGCS 3.2.(Sh 802,000), AGCS 3.3.(Sh 834,000), AGCS 3.4.(Sh 866,000), AGCS 3.5.(Sh 898,000), AGCS 3.6.(Sh 930,000), na AGCS 3.7.(Sh 962,000).
AGCS 4
AGCS 4.1.(Sh 1,075,000), AGCS 4.2.(Sh 1,113,000), AGCS 4.3.(Sh 1,151,000), AGCS 4.4.(Sh 1,189,000), AGCS 4.5.(Sh 1,227, 000), AGCS 4.6.(Sh 1,265,000), AGCS 4.7.(Sh 1,303,000).
AGCS 5
AGCS 5.1.(Sh 1,420,000), AGCS 5.2.(Sh 1,464,000), AGCS 5.3.(Sh 1,508,000), AGCS 5.4.(Sh 1,552,000), AGCS 5.5.(Sh 1,596,000), AGCS 5.6.(Sh 1640,000), AGCS 5.7.(Sh 1,684,000).
AGCS 6
AGCS 6.1.(Sh 1,805,000), AGCS 6.2.(Sh 1,867,000), AGCS 6.3.(Sh 1,929,000), AGCS 6.4.(Sh 1,991,000), AGCS 6.5.(Sh 2,053,000), na AGCS 6.6.(Sh 2,115,000).
AGCS 7
AGCS 7.1.(Sh 2,240,000), AGCS 7.2.(Sh 2,329,000), AGCS 7.3.(Sh 2,418,000), AGCS 7.4.(Sh 2,507,000), na AGCS 7.5.(Sh 2,596,000)
AGCS 8
AGCS 8(Sh 3,020,000)
AGCS 9
AGCS 9(Sh3,560,000)
AGCS 10
AGCS 10 (Sh 4,230,000)
AGCS 11
AGCS 11(Sh 4,485,000)
AGCS 12
AGCS 12 (Sh 5,000,000)
AGCS 13
AGCS 13(Sh 5,580,000)
Wafanyakazi wanaofanya utafiti wa kilimo na mifugo
TGRS A
TGRS A 1. (Sh 916,000), TGRS A 2. (Sh926,500), TGRS A 3. (Sh 937,000), TGRS A 4. (Sh 947,500), TGRS A 5. (Sh 958,000), TGRS A 6. (Sh 968,500), TGRS A 7. (Sh 979,000), na TGRS A 8. (Sh 989,500).
TGRS B
TGRS B 1. (Sh 1,060,000), TGRS B 2. (Sh 1,072,700), TGRS B 3. (Sh 1,085,400), TGRS B 4. (Sh 1,098,100), TGRS B 5. (Sh 1,110,800), TGRS B 6. (Sh 1,123,500), TGRS B 7. (Sh 1,136,200), na TGRS B 8. (Sh 1,148,900).
TGRS C
TGRS C 1. (Sh 1,252,000), TGRS C 2. (Sh 1,268,400), TGRS C 3. (Sh 1,284,800), TGRS C 4. (Sh 1,301,200), TGRS C 5. (Sh 1,317,600), TGRS C 6. (Sh 1,334,000),TGRS C 7. (Sh 1,350,400), na TGRS C 8. (Sh 1,366,800).
TGRS D
TGRS D 1. (Sh 1,473,000),TGRS D 2. (Sh 1,495,000), TGRS D 3. (Sh 1,517,000), TGRS D 4. (Sh 1,539,000), TGRS D 5. (Sh 1,561,000), TGRS D 6. (Sh 1,583,000), TGRS D 7. (Sh 1,605,000), na TGRS D 8. (Sh 1,627,000).
TGRS E
TGRS E 1. (Sh 1,736,000), TGRS E 2. (Sh 1,774,500), TGRS E 3. (Sh 1,813,000), TGRS E 4. (Sh 1,851,500), TGRS E 5. (Sh 1,890,000), TGRS E 6. (Sh 1,928,500), TGRS E 7. (Sh 1,967,000), na TGRS E 8. (Sh 2,005,500).
TGRS F
TGRS F 1. (Sh 1,114,000), TGRS F 2. (Sh 2,183,000), TGRS F 3. (Sh 2,252,000), na TGRS F 4. (Sh 2,321,000).
TGRS G
TGRS G 1. (Sh 2,440,000), TGRS G 2. (Sh 2,522,000), na TGRS G 3. (Sh 2,604,000).
TGRS H
TGRS H (Sh 2,950,000)
TGRS I
TGRS I (Sh 3,100,000)
Wafanyakazi Ofisi ya Bunge kada ya masharti (operational service)
PSOS A
PSOS A.1. (Sh 240,000), PSOS A.2. (Sh 245,600), PSOS A.3. (Sh 251,200), PSOS A.4. (Sh 256,800),PSOS A.5. (Sh 262,400), PSOS A.6. (Sh 268,000), PSOS A.7. (Sh 273,500), PSOS A.8. (Sh 279,200), PSOS A.9. (Sh 284,800), PSOS A.10. (Sh 290,400), PSOS A.11. (Sh 296,000), PSOS A.12. (Sh 301,600),PSOS A.13. (Sh 307,200), PSOS A.14. (Sh 312,800), PSOS A.15. (Sh 318,400), PSOS A.16. (Sh324,000), PSOS A.17. (Sh 329,600), na PSOS A.18. (Sh 335,200).
PSOS B
PSOS B.1. (Sh 347,000), PSOS B.2. (Sh 356,500), PSOS B.3. (Sh 366,000), PSOS B.4. (Sh 375,500),PSOS B.5. (Sh 385,000), PSOS B.6. (Sh 394,500), PSOS B.7. (Sh 404,000), PSOS B.8. (Sh 413,500), PSOS B.9. (Sh 423,000), PSOS B.10. (Sh 432,500), PSOS B.11. (Sh 442,000), na PSOS B.12. (Sh 451,500).
PSOS C
PSOS C.1. (Sh 471,000), PSOS C.2. (Sh 482,000),PSOS C.3. (Sh 493,000), PSOS C.4. (Sh 504,000), PSOS C.5. (Sh 515,000), PSOS C.6. (Sh 526,000), PSOS C.7. (Sh537,000), PSOS C.8. (Sh 548,000), PSOS C.9. (Sh 559,000), PSOS C.10. (Sh 570,000), PSOS C.11. (Sh 581,000), na PSOS C.12. (Sh 592,000).
Wafanyakazi wenye taaluma mbalimbali Ofisi za Bunge
PSS A
PSS A. 1. (Sh 249,000), PSS A. 2. (Sh 255,600), PSS A. 3. (Sh 262,200), PSS A. 4. (Sh 268,800), PSS A. 5. (Sh 275,400), PSS A. 6. (Sh 282,000), PSS A. 7. (Sh 288,600), na PSS A. 8. (Sh 295,200).
PSS B
PSS B. 1. (Sh 311,000), PSS B. 2. (Sh 319,500), PSS B. 3. (Sh 328,000), PSS B. 4. (Sh 336,500), PSS B. 5. (Sh 345,000), PSS B. 6. (Sh353,500), PSS B. 7. (Sh 362,000), PSS B. 8. (Sh 370,500), PSS B. 9. (Sh 379,000), na PSS B. 10. (Sh387,500).
PSS C
PSS C. 1. (Sh 410,000), PSS C. 2. (Sh 420,000), PSS C. 3. (Sh 430,000), PSS C. 4. (Sh 440,000), PSS C. 5. (Sh 450,000), PSS C. 6. (Sh 460,000), PSS C. 7. (Sh 470,000), PSS C. 8. (Sh 480,000), PSS C. 9. (Sh 490,000), PSS C. 10. (Sh 500,000), PSS C. 11. (Sh 510,000), na PSS C. 12. (Sh 520,000).
PSS D
PSS D. 1. (Sh 567,000),PSS D. 2.(Sh 578,500),PSS D. 3. (Sh 590,000),PSS D. 4. (Sh 601,500),PSS D. 5. (Sh 613,000),PSS D. 6. (Sh 624,000),PSS D. 7. (Sh 636,000),PSS D. 8. (Sh 647,500),PSS D. 9. (Sh 659,000),PSS D. 10. (Sh 670,500),PSS D. 11. (Sh 682,000), na PSS D. 12. (Sh 693,500).
PSS E
PSS E. 1. (Sh751,000),PSS E. 2. (Sh 766,500),PSS E. 3. (Sh 782,000),PSS E. 4. (Sh 797,500),PSS E. 5. (Sh 813,000),PSS E. 6. (Sh 828,500),PSS E. 7. (Sh 844,000),PSS E. 8. (Sh 858,500),PSS E. 9. (Sh 875,000),PSS E. 10. (Sh 890,500),PSS E. 11. (Sh 906,000),na PSS E. 12. (Sh 912,500).
PSS F
PSS F. 1. (Sh 1,003,000),PSS F. 2. (Sh 1,022,000),PSS F. 3. (Sh 1,041,800),PSS F. 4. (Sh 1,061,200),PSS F. 5. (Sh 1,080,600),PSS F. 6. (Sh 1,100,000),PSS F. 7. (Sh 1,119,400),PSS F. 8. (Sh 1,138,800),PSS F. 9. (Sh 1,158,200),PSS F. 10. (Sh 1,177,600),PSS F. 11. (Sh 1,197,000),na PSS F. 12. (Sh 1,216,400).
PSS G
PSS G. 1. (Sh 1,299,000),PSS G. 2. (Sh 1,324,500),PSS G. 3. (Sh 1,350,000),PSS G. 4. (Sh 1,375,500),PSS G. 5. (Sh 1,401,000),PSS G. 6. (Sh 1,426,500),PSS G. 7. (Sh 1,452,000),PSS G. 8. (Sh 1,477,500),PSS G. 9. (Sh 1,503,000),PSS G. 10. (Sh 1,528,500),PSS G. 11. (Sh 1,554,000),na PSS G. 12. (Sh 1,579,500).
PSS H
PSS H. 1. (Sh 1,672,000),PSS H. 2. (Sh 1,722,000),PSS H. 3. (Sh 1,772,000),PSS H. 4. (Sh 1,822,000),PSS H. 5. (Sh 1,872,000),PSS H. 6. (Sh 1,922,000),PSS H. 7. (Sh 1,972,000),PSS H. 8. (Sh 2,022,000),PSS H. 9. (Sh 2,072,000),PSS H. 10. (Sh 2,122,000),PSS H. 11. (Sh 2,172,000),na PSS H. 12. (Sh 2,222,000).
PSS I
PSS I. 1. (Sh 2,317,000),PSS I. 2. (Sh 2,413,000),PSS I. 3. (Sh 2,509,000),na PSS I. 4. (Sh 2,605,000).
PSS J
PSS J (Sh 2,800,000)
PSS K
PSS K (Sh 2,900,000)
PSS L
PSS L (Sh 3,100,000)
Wafanyakazi wa kada ya Wakaguzi katika Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali (SAIS)
SAIS A
SAIS A.1. (Sh 249,000), SAIS A.2. (Sh 255,600), SAIS A.3. (Sh 262,200),SAIS A.4. (Sh 268,800), SAIS A.5. (Sh 275,400), SAIS A.6. (Sh 282,000), SAIS A.7. (Sh 288,600), na SAIS A.8. (Sh 295,200)
SAIS B
SAIS B.1. (Sh 311,000), SAIS B.2. (Sh 319,500), SAIS B.3. (Sh 328,000), SAIS B.4. (Sh 336,500), SAIS B.5. (Sh 345,000), SAIS B.6. (Sh 353,500), SAIS B.7. (Sh 362,000), SAIS B.8. (Sh 370,500), SAIS B.9. (Sh 379,000), na SAIS B.10. (Sh 387,500).
SAIS C
SAIS C.1. (Sh 410,000), SAIS C.2. (Sh 420,000), SAIS C.3. (Sh 430,000), SAIS C.4. (Sh 440,000), SAIS C.5. (Sh 450,000), SAIS C.6. (Sh 460,000), SAIS C.7. (Sh 470,000), SAIS C.8. (Sh 480,000), SAIS C.9. (Sh 490,000), na SAIS C.10. (Sh 500,000),SAIS C.1.1 (Sh510,000), na SAIS C.12. (Sh 520,000).
SAIS D
SAIS D.1. (Sh567,000), SAIS D.2. (Sh 578,500),SAIS D.3. (Sh 590,000),SAIS D.4. (Sh 601,500),SAIS D.5. (Sh 613,000),SAIS D.6. (Sh 624,500),SAIS D.7. (Sh 636,000),SAIS D.8. (Sh 647,500),SAIS D.9. (Sh 659,000),SAIS D.10. (Sh 670,500),SAIS D.11. (Sh 682,000),SAIS D.12. (Sh 693,500).
SAIS E
SAIS E.1. (Sh 751,000),SAIS E.2. (Sh 766,500),SAIS E.3. (Sh 782,000),SAIS E.4. (Sh 797,500),SAIS E.5. (Sh 813,000),SAIS E.6. (Sh 828,000),SAIS E.7. (Sh 844,000),SAIS E.8. (Sh 859,500),SAIS E.9. (Sh 875,000),SAIS E.10. (Sh 890,500),SAIS E.11. (Sh 906,000),na SAIS E.12. (Sh 912,500).
SAIS F
SAIS F.1. (Sh1,003,000),SAIS F.2. (Sh 1,022,400),SAIS F.3. (Sh 1,041,800),SAIS F.4. (Sh 1,061,200),SAIS F.5. (Sh 1,080,600),SAIS F.6. (Sh 1,100,000),SAIS F.7. (Sh 1,119,400),SAIS F.8. (Sh 1,188,800),SAIS F.9. (Sh 1,158,200),SAIS F.10. (Sh 1,177,600),SAIS F.11. (Sh 1,197,000), na SAIS F.12. (Sh 1,216,400).
SAIS G
SAIS G.1. (Sh1,299,000),SAIS G.2. (Sh 1,324,500),SAIS G.3. (Sh 1,350,000),SAIS G.4. (Sh 1,375,500),SAIS G.5. (Sh 1,401,000),SAIS G.6. (Sh 1,426,500),SAIS G.7. (Sh 1,452,000),SAIS G.8. (Sh 1,477,500),SAIS G.9. (Sh 1,503,000),SAIS G.10. (Sh 1,528,000),SAIS G.11. (Sh 1,554,000),na SAIS G.12. (Sh 1,579,000).
SAIS H
SAIS G.1. (Sh 1,672,000),SAIS G.2. (Sh 1,722,000),SAIS G.3. (Sh 1,772,000),SAIS G.4. (Sh 1,822,000),SAIS G.5. (Sh 1,872,000),SAIS G.6. (Sh 1,922,000),SAIS G.7. (Sh 1,972,000).

 
 
 
 
WALIOKUWA WANATAKA MUUNGANO WA
 MKATABA WAANZA KUBABAIKA
WALIOKUWA WANATAKA MUUNGANO WA MKATABA WAANZA KUBABAIKA

Tume ya Mabadiliko ya KAtiba imeendelea kupokea maoni ya wajumbe wa mabaraza ya Katiba huku hoja ya kuwepo kwa muungano wa mkataba ikionekana kutokuungwa mkono na wajumbe wengi.

Wakitoa mawazo yao kwenye mkutano uliofanyika kwenye ukumbi wa Ecrotanal Kisiwani Unguja chini ya Kamishna wa Tume Awadh Said Ali, wajumbe wa mabaraza ya Katiba ya Wilaya walieleza kuwa wanaodai Serikali tatu, Muungano wa mkataba au kuvunja muungano wana jazba ambazo ni hatari kwa uhai wa visiwa vya Zanzibar. 

Mjumbe Khalid Salehe Mwina alisema “Muundo wa Serikali mbili ubakei, haiwezekani mgonjwa aumwe mguu apasuliwe kichwa. Zanzibar eneo letu la ardhi, ambayo ndio kimbilio la watu maskini kama sisi, ni dogo tofauti na bara, tusijitenge na kushindwa kutumia fursa za kiuchumi zilizoko bara.”    

Idadi kubwa ya wajumbe walisema Serikali mbili hazina matatizo kwa wananzi labda kwa viongozi waroho wa madaraka. Isipokuwa walisisitiza kuwa kero za Muungano zinapaswa kushughulikiwa kwa wakati. Hoja za wengi zilijikita katika uwezo ulioonyeshwa na Serikali mbili katika kulinda amani, utulivu na umoja wa kitaifa.

(Kwa habari mbalimbali tembelea : http://www.dar24.com)

Tume ya Mabadiliko ya KAtiba imeendelea kupokea maoni ya wajumbe wa mabaraza ya Katiba huku hoja ya kuwepo kwa muungano wa mkataba ikionekana kutokuungwa mkono na wajumbe wengi.

Wakitoa mawazo yao kwenye mkutano uliofanyika kwenye ukumbi wa Ecrotanal Kisiwani Unguja chini ya Kamishna wa Tume Awadh Said Ali, wajumbe wa mabaraza ya Katiba ya Wilaya walieleza kuwa wanaodai Serikali tatu, Muungano wa mkataba au kuvunja muungano wana jazba ambazo ni hatari kwa uhai wa visiwa vya Zanzibar.

Mjumbe Khalid Salehe Mwina alisema “Muundo wa Serikali mbili ubakei, haiwezekani mgonjwa aumwe mguu apasuliwe kichwa. Zanzibar eneo letu la ardhi, ambayo ndio kimbilio la watu maskini kama sisi, ni dogo tofauti na bara, tusijitenge na kushindwa kutumia fursa za kiuchumi zilizoko bara.”

Idadi kubwa ya wajumbe walisema Serikali mbili hazina matatizo kwa wananzi labda kwa viongozi waroho wa madaraka. Isipokuwa walisisitiza kuwa kero za Muungano zinapaswa kushughulikiwa kwa wakati. Hoja za wengi zilijikita katika uwezo ulioonyeshwa na Serikali mbili katika kulinda amani, utulivu na umoja wa kitaifa.

(Kwa habari mbalimbali tembelea : http://www.dar24.com/)

Mlandizi. Familia ya Amina Juma




Mlandizi. Familia ya Amina Juma, mjane wa askari wa JWTZ, Fortunatus Msofe aliyeuawa akiwa Darfur, nchini Sudan, imesema baada ya siku 40 tangu kufa kwa mpiganaji huyo, itatoa tamko kuhusu yaliyomsibu binti yao. Amina aliyekuwa akiishi Visiga mkoani Pwani na Msofe aliyezikwa juzi, Kange mkoani Tanga, alifungiwa nyumba waliyokuwa wakiishi na habari zilisema hatua hiyo ilitokana na amri ya baba mkwe wake, Wilbad Msofe.
Mzee Msofe alihamisha msiba kutoka Visiga na kupeleka nyumbani kwake Tanga, hatua iliyomlazimisha Amina kurejea kwao Mlandizi.
Hata hivyo, baadaye alikata shauri kwenda Tanga kumzika mwenza wake kwa maelezo aliota Msofe akimsihi aende akampumzishe.
Akizungumza nyumbani kwa wazazi wa Amina, jana mmoja wa wanafamilia alisema ndugu yako na mama yake mzazi walikwenda kwenye maziko.
Alisema baada ya kutoka kwenye msiba, Amina amekuwa mnyonge kwa sababu hakupata nafasi ya moja kwa moja ya kumzika mwenzake.

“Hapa kulikuwa na vikao kujadili msiba huo na kauli zilizotoka, wanandugu walikubaliana kuwa kwa sasa si vyema kujadili, hadi 40 itakapofika,” 
 alisema.

Thursday 25 July 2013

RAIS AVUNJA SERIKALI SUDAN KUSINI

KIJIJI CHA KAKUNYU CHAPATA NEEMA YA MAJI

NEEMA KIJIJI CHA BUGANGO NA KAKUNYU





Wakati maji yalipo sindikama kupatikana kijijini Bugango wataalamu wa uchimbaji maji wakihamisha mitambo yao na kusema kwaherini tutarudi tena......(na kituachia kitendawili cha kusema BAHATI YA MTENDE UTAMU WA TENDEZAKE MWENYEWE) Leo mungu kakitegua kitendaweli hicho na yakaaji wa kijiji hicho kwa kusema 
"HAKUNA KINACHO SHINDIKANA KATIKA MIKONO YA MUNGU"


Eneo lenye ukame latatua kitendawali hiki cha uhaba wa maji 
katika vijiji hivi viwili vya Bugango na Kakunyu na eneo hili lipo maeneo ya Kitongoji  cha Bandama na Kitoboka katikati ya milima hiyo ya katangiliza na Nseseme....mwamba umepasuka na kububu jisha maji mengi mazuri na baridi Mkuu wa kanisa linalio pakana na chemichemi hiyo mbele yake akiri kwa kusema muaka yote tuna tabika kwa ajili ya upatikanaji wa maji sasa leo mungu ashusha miujiza yake kama hii katika ukame huu hapa ng'ombe wetu walidhoofika kwa kukosa maji sasa chanzo cha maji chajitokeza karibu na sisi hapa jangweni
 "MWACHENI MUNGU AITWE MUNGU" alimalizia kwa maneno hayo.....






Kwakweli maji ni kitu muhumu sana kwa mahitaji ya mwanadamu ukikosa maji uhai haupo pale na Kamanda wa Uhamiaji wa eneo hili ali washauti wakaaji wa eneo hilo kukihifadhi chanzo hicha cha chemichemi hii kisije kikaharibiwa na mifugo ...na kushauri watengeneze mifereji itakayo tenganisha kwa matumizi ya majihayo na mifugo na binadamu...




Ng'ombe wakiwa malishoni na wakielekea kwenye eneo la kujipatia maji hayo yaliyo shushwa na Mungu.....WANANCHI WALIKUWA WAKIRUMBANA NA KUSEMA HAYA SI MAMBO YA KAWAIDA BALI HUENDA NI SALA ZETU TUNAZO MPELEKEA MUNGU NA LEO KAZISIKIA KWANI HAPA MAJI YALIKUWA ADIMU SANA dumu la maji lilifukia Shs/= za Kiganda 1,500/= hadi 2.000/=
NIVYEMA TUKAMSUFU MUNGU waliishia hapo na maBlioga wa Bogango Border, Boshazi, Kwetu Tanga, Zigua Simo na Njero wakiondoka katika kijiji cha maeneo ya Bandama na Kotoboka wakiwaacha wananchi wakishikwa na Butwaaaa.

It’s Prince GEORGE

It’s Prince GEORGE of Cambridge! Kate and William proudly announce the name of their baby 50 hours after his birth

The Duke and Duchess of Cambridge have named their son George Alexander Louis, Kensington Palace has said.

It’s Prince GEORGE of Cambridge! Kate and William proudly announce the name of their baby 50 hours after his birth

The Duke and Duchess of Cambridge have named their son George Alexander Louis, Kensington Palace has said.
The Prince of Cambridge - Reuters
The Prince of Cambridge – Reuters
George had been the bookmakers’ favourite for the first name of the prince, who is third in line to the throne.
He will be known as His Royal Highness Prince George of Cambridge.
They are currently at the duchess’s family home in Bucklebury, Berkshire, after spending a night at Kensington Palace.
The Duke and Duchess had been expected to pick a traditional royal name for their son, who was born at St Mary’s Hospital in London on Monday at 16:24 BST, weighing 8lbs 6oz.
Royal infants usually have historical names which are passed down through the generations.
This is a relatively quick announcement of a name compared to previous royal babies.


It was seven days before the name of a newborn Prince William was announced in 1982, and there was a wait of a month following the Prince Charles’s birth in 1948.
All births in England, Wales and Northern Ireland, regardless of parentage, must be registered within 42 days at the hospital before leaving or a register office.
Agencies
 Reuters
The Prince of Cambridge - Reuters George had been the bookmakers’ favourite for the first name of the prince, who is third in line to the throne.
He will be known as His Royal Highness Prince George of Cambridge.
They are currently at the duchess’s family home in Bucklebury, Berkshire, after spending a night at Kensington Palace.
The Duke and Duchess had been expected to pick a traditional royal name for their son, who was born at St Mary’s Hospital in London on Monday at 16:24 BST, weighing 8lbs 6oz.
Royal infants usually have historical names which are passed down through the generations.
This is a relatively quick announcement of a name compared to previous royal babies.


It was seven days before the name of a newborn Prince William was announced in 1982, and there was a wait of a month following the Prince Charles’s birth in 1948.
All births in England, Wales and Northern Ireland, regardless of parentage, must be registered within 42 days at the hospital before leaving or a register office.
Agencies

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.

090201-N-0506A-087
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameagiza Wizara za Serikali zinahusika na kodi na mawasiliano pamoja na makampuni ya simu za mikononi nchini kukutana mara moja kutafuta jinsi gani ya kumaliza mvutano wa kodi mpya ya kadi za simu hizo za mikononi.
Rais kikwete ametoa maelekezo hayo jana jioni, Jumanne, Julai 23, 2013 wakati alipokutana na viongozi wa Wizara ya Fedha, Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia na wawakilishi wa makampuni ya simu ya TTCL, Airtel, Vodacom, Tigo na Zantel katika kikao cha pamoja kilichofanyika Ikulu, Dar es Salaam.
Rais Kikwete amesema kuwa lengo kuu la mkutano huo wa pamoja kati ya Wizara hizo za Serikali na makampuni ya simu yawe ya kupendekeza jinsi gani ya kuziba pengo la Sh. Bilioni 178 ambazo zitapotea katika Bajeti iwapo kodi hiyo kwa kadi za kuongelea za simu za mikononi italazimika kufutwa na Serikali kupitia marekebisho kwenye Muswada wa Fedha wa Bajeti ya Mwaka 2013/2014.
Rais Kikwete amewaambia wawakilishi wa pande hizo mbili kuwa huwezi tena kuifuta moja kwa moja kodi hiyo bila kutafuta njia nyingine za kupata fedha za kujaza pengo hilo la Sh. Bilioni 178 ambazo tayari Bunge limezipangia matumizi.
 
“Nawaombeni kaeni pamoja, wekeni bongo zenu pamoja, wekeni akili yenu pamoja tutafute namna gani tunaweza kujaza pengo hili la Sh. Bilioni 178 endapo tutakubaliana kuwa kodi hii inawabebesha wananchi mzigo mzito na kuwa pengine menejimenti ya kodi yenyewe ni ngumu,”
 
  Rais Kikwete amewaambia wawakilisho hao.
Katika Bajeti ya Serikali ya mwaka 2013/2014, Serikali imeweka kodi ya Sh. 1,000/= kwa mwezi kwa kila mtumiaji simu kwa ajili ya kufanya mawasiliano kwa kutumia simu ya mkononi.
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.

Tuesday 23 July 2013

Unguja wakataa Serikali tatu

 


Unguja wakataa 

Serikali tatu





Zanzibar. Wajumbe wa Baraza la Katiba Wilaya Kaskazini (B) Unguja wameukataa Muundo wa Serikali tatu uliopendekezwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba Tanzania kwa madai kuwa utaliongezea taifa gharama zisizokuwa za lazima.
Wakizungumza wakati wa kutoa maoni yao kwenye rasimu ya Katiba, Wajumbe hao hamesema hawaoni haja wala ulazima wa kuwa kuliongezea taifa gharama hizo, wakati nchi bado ina mambo mengi yanayohitaji uwezeshwaji.
Abdallah Kombo Baraka kutoka shehia ya Zingwe zingwe akichangia alisema mfumo huo ambao ulipendekezwa na Tume haufai kwa sasa hivi Taifa lina mambo yakushuhulikia kuliko kuongeza jukumu lingine.
“Hivi sasa kupata huduma kume jaa urasimu halafu unaongeza Serikali ya tatu si hatari zaidi” alisema Baraka.
“Waheshimiwa hivi sasa uchumi wetu uko chini halafu tunataka kuongeza Serikali ya tatu njaa si itatisha jamani, mimi napendekeza muundo wa sasa uendelee” alisema Khamis Makame Mkombe akichangia katika Mkutano huo.
Alisema kuleta Muungano wa shirikisho ni njiia za kuua Mungano ambao umedumu kwa nusu karine.
Sambamba na hayo Salim Suleiman Ameir kutoka shehia ya Donge alisema Muundo wa serikali tatu si makubaliano ya Waasisi Abeid karume na Mwalimu Nyerere na kudai kuleta mfumo mpya ni kuvunja heshima yao.
“Tukiwa na Muungano wa shirikisho lazima kuwe na mkataba maalumu mmoja akiukiuka ndio Muungano ushavunjika uoo, kwa hiyo ni vyema tuendelee na mfumo wetu huu uliasisiwa na wazee wetu ili tupate radhi zao” alieleza Ameir.
Baadaye Mjumbe wa tume ya mabadiliko katiba Awadhi Ali Said alitoa ufafanuzi uliolenga kuelezea Serikali ziliopo Tanzania lakini wajumbe hao waliendelea na msimamo wao huo.