Wednesday 4 December 2013

The police also rescued 16 pregnant girls




The Imo State
Police Command, Monday, smashed another baby-making factory in Egbu, near
Owerri the State capital, arresting the proprietor, one Dr. James Ezuma who runs a
Non-Governmental Organization (NGO), and a clinic.
The
police also rescued 16 pregnant girls, including one whose two-hour old baby
girl was sold without her knowledge.

Leading
his Police Ambush Squad to the No. 40 Egbu Road beside Somachi Automobile
Market, Owerri, where Dr. Ezuma, a native of Ndiokeke Ndiakunwanta in
Arondizuogu, Ideato North LGA of Imo State, operated his NGO, Ezuma Women and
Children Right Initiative, the State Commissioner of Police, Mr. Mohammad
Katsina, also rescued a three-year-old boy who was also brought to the place
alongside his pregnant mother.

Our reporter observed that the 16 pregnant girls were kept in two rooms that had no
windows while repulsive odour oozed out from their rooms.

Speaking
with journalists after rescuing the victims, the commissioner of police said, Dr.
Ezuma, ”who has been very notorious for gun-running and trafficking of human
beings, was eventually apprehended at his residence by the Command Ambush Squad
on Tuesday 26th November, 2013 through credible intelligence.

He said the course of his arrest, search was conducted in his premises purportedly
registered as an office for an NGO, which turned out to be a baby factory,
where teenage girls are encouraged to get pregnant and take home the sum of
N100,000 at delivery, on the condition  that they would abandon their babies who would be eventually used for
purposes ranging from child trafficking to rituals.
The
police boss disclosed that the suspect was arraigned before an Owerri Chief
Magistrate Court 1 on November 1, 2013, for the offence of conspiracy and
unlawful possession of firearms.
He
said the pregnant girls rescued in the premises of Dr. Ezuma were aged between
14 and 19 years, and that after further search was conducted, an automatic
eight-loader pump action gun (which is prohibited) was found in his house.
The
CP stated that of major concern to his command was the fact that on November
24, 2013, one of the pregnant girls, Nnachi Chinaza from Ebonyi State, gave
birth to a baby girl, who was immediately snatched away by the said Dr. Ezuma
and sold to an unknown person.
He
said all efforts made by the police to find out the whereabout of the baby proved
abortive, as according to him, the said suspect had persistently refused to
lead the police to where he kept or sold the baby.
While
he was not ruling out investigation, Mr. katsina said the presumption at the
moment was that the said baby might have been used for ritual purposes.
He

therefore warned the general public to endeavour to keep an eye on their girls
so that they would not fall prey to such miscreants like Dr. Ezuma, who did not
mean well for the society.
The
police boss commended the state commissioner for women Affairs for revoking the
license of orphanage homes in the state and pledged to partner with her because
she had started on a good note.
Speaking
to Journalists, one of the victims whose child was snatched from her, Miss
Chinaza Nnachi said she was directed to come to the place by an aunt after her
boyfriend denied her pregnancy.
She
said amidst tears, that though she was given N100,000 after delivery, on the
promise that they would train her baby, but she never knew her baby would be
sold to unknown persons even without her consent.
Also
speaking, another victim, 18 year old Blessing Anyaike who came from Lagos,
told journalists that she became stranded when she got pregnant, but was
directed to the place with the promise that her child would be taken care of.
The
suspect while speaking to journalists insisted that he was not into child
trafficking, and that the child was given out for adoption on the consent of
the mother.
He
told journalists that the “missing child’ has been traced to Ozomagana street
in Onitsha” saying social welfare office, in Aba, Twin sisters Motherless Babies’
home Aba, gave the child out and that the girls were admitted as pregnant
women.
Other
items recovered from the suspect include, 10 exotic cars of different models.


Tembo

Monday 23 September 2013

AL SHABAAB NI NANI HASA?

 
 
 
 
 
 
Wamevamia jengo la kibiashara Nairobi na kuwaua watu 69 pamoja na kuwateka nyara baadhi.....

AL SHABAAB NI NANI HASA?

Ingawa kundi hilo limepoteza udhibiti baada ya majeshi ya AU kukabiliana nao nchini Somalia, inaarifiwa wameamua kutumia mbinu ya mashambulizi ya kuvizia kuendeleza harakati zao

http://www.bbc.co.uk/swahili/habari/2013/09/130923_alshabaab_kenya.shtmlWamevamia jengo la kibiashara Nairobi na kuwaua watu 69 pamoja na kuwateka nyara baadhi.....

AL SHABAAB NI NANI HASA?

Ingawa kundi hilo limepoteza udhibiti baada ya majeshi ya AU kukabiliana nao nchini Somalia, inaarifiwa wameamua kutumia mbinu ya mashambulizi ya kuvizia kuendeleza harakati zao

http://www.bbc.co.uk/swahili/habari/2013/09/130923_alshabaab_kenya.shtml

Saturday 21 September 2013

TANZIA

TANGA KWDETU

TANZIA

"Kwa ishirikiano wa Bliog za Tanga Kwetu, Zigua Simo na njero, Boshazi ondeZigua, Samba na Baragumu ya Mnyonge....wamestushwa na kifo cha Kamanda "


GEORGE JOHN LAIZER

 

Che.Andrew Kizenga Shundi

kwani Tarehe 17/09/2013 alitembelea BUGANGO BORDER na kuahidi yakuwa atakapo pata nafasi atatembelea eneo hili tena na kusema yakuwa alikuwa akisikia kituo hiki cha Bugango sasa leo amefika ...akasema kwakweli mimi siamini nitarudi tena....mwisho wa kauri yake kwakweli sisi wana bugango tunamuomboa apumzike mahali pema peponi..Amin

                      
                              

                                       



  • MPIGANAJI AFIA 'VITANI' AKILITETEA TAIFA LAKE
  • AMEACHA MKE NA WATOTO WAWILI.
  • AFISA UHAMIAJI MKOA WA KAGERA AONGOZA WAOMBOLEZAJI 
     
     
Idara ya Uhamiaji mkoa wa Kagera imekumbwa na simanzi na majonzi makubwa baada ya kumpoteza askari wake Mkaguzi wa Uhamiaji George John Laizer aliyefariki jana katika kituo cha Afya Bunazi wilayani Missenyi akisubiri matibabu. 
Marehemu Laizer alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kisukari ambapo inasemekana siku mbili kabla ya kifo chake alikuwa akiugua typhoid. Baada ya kwenda kituoni hapo kutibiwa hali yake ilibadilika ghafla jana asubuhi hali iliyopelekea akimbizwe kituo cha Afya kwa matibabu. Akiwa kituoni hapo, ndipo alipokata roho na kuiga dunia.
Marehemu Laizer ni mzaliwa wa mkoa wa Arusha mwaka 1970,  alipata elimu ya msingi  katika shule ya Mchombe mkoani Morogoro kuanzia mwaka 1979 hadi 1985. Mwaka 1986 hadi 1989 alipata elimu ya sekondari katika shule ya Vunjo.
Mnamo tarehe 12/12/1990, aliajiriwa rasmi kuwa afisa uhamiaji mara baada ya kumaliza mafunzo ya awali katika chuo cha polisi Moshi na kupangiwa kufanya kazi katika kituo cha Holili mkoa wa Kilimanjaro.
Marehemu ameacha mke na watoto wawili.Leo asubuhi mjini Bukoba katika ofisi za uhamiaji, Afisa Uhamiaji mkoa wa Kagera DCI. George Kombe aliongoza maofisa mbalimbali kutoka vyombo vya ulinzi na usalama na asasi za kiraia katika kuuaga mwili wa marehemu ambapo baadaye majira ya saa tano na nusu asubuhi ulisafirishwa kwenda Rusumo ambako huko pia ataagwa na hatimaye kusafirishwa nyumbani kwao mkoani Arusha kwa mazishi.
Blogu ya Bugango inaungana na wana-Uhamiaji katika wakati huu mgumu wa kuomboleza kuondokewa na kijana aliyekufa akilitumikia taifa lake katika oparesheni Kimbunga.
 
Askari wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama wakitoa heshima zao za mwisho kwa Kamana Laizer leo hii mjini Bukoba                                      
 
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI. AMEN
Mlima kilimanjaro
 

Wednesday 11 September 2013

SADC : KAGAME UKIISHAMBULIA TANZANIA, TUTAKUPIGA


 
 
 
 
Taarifa
 
Rwanda
SADC
 
Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) imetoa onyo kali kwa Rais wa Rwanda, Paul Kagame, kwa kumtaka aachane mara moja na na fikra zozote mbaya alizonazo ikiwamo mipango yake ya kuihujuma Serikali ya Tanzania na watu wake.

Onyo hili limefuatia nchi wanachama wa SADC kufuatilia kwa makini mzozo wa kidiplomasia ambao Kagame aeuiubua na amekuwa anaukuza hadharani na kichinichini dhidi ya Rais Jakaya Kikwete na Tanzania kwa ujumla.

Habari hizi zimetolewa na viongozi wa juu wa SADC na maofisa wa Serikali, waliokuwa katika ujumbe wa Rais Jakaya Kikwete alipokwenda kuhudhuria Mkutano wa viongozi wa Maziwa Makuu huko Uganda hivi karibuni. Aidha, imethibitishwa kuwa tayari Jumuiya hiyo imekwisha mpatia ujumbe huo mmoja wa mawaziri aliyekuwa ameandamana na Kagame muda mfupi baada ya kikao chake na Kikwete.

Kiongozi mmoja wa juu wa Msumbiji ambaye alikuwa pia Uganda, alikaririwa akimueleza Waziri aliyeandamana na Kagame kuwa “Nchi za SADC zinafahamu kuwa Rais Kagame hajafurahishwa na uamuzi wa Tanzania wa kupeleka vikosi vyake Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC. Hata hivyo Kagame anapaswa kuelewa kuwa ilichofanya Tanzania ulikuwa ni msimamo wa pamoja wa nchi za SADC."

Aidha Kiongozi huyo aliendelea kusema "hivyo basi vitisho au uvamizi wa kijeshi dhidi ya Tanzania utachukuliwa ni uvamizi dhidi ya SADC, na tutakuwa tayari kuingia vitani kupigana upande wa Tanzania.”
 
 

Sunday 8 September 2013

KOMSALA WILAYANI HANDENI....Yatoa somo.

 
 
 
Sharobaro
 
MSHAMBULIAJI hatari wa timu ya Mashorobaro iliyopo kijiji cha Komsala, wilayani Handeni, mkoani Tanga, Malilo Gerevas, amesema kwamba wataendelea kuwanyanyasa watani wao wa jadi, Men Stone kwa kuwafunga kila wanapokutana uwanjani.
Timu zote mbili zinapatikana katika kijiji hicho kinachotajwa kuwa na msisimko wa aina yake katika mpira wa miguu kiasi cha kuleta raha kwa wadau wa michezo     maeneo hayo.
Akizungumza na Handeni Kwetu Blog kijijini kwao juzi, Gerevas alisema kwamba wao wana timu nzuri na iliyosheheni vijana wadogo, jambo linalowafanya wawe na kasi uwanjani.
“Wale ni ndugu zetu lakini katika masuala ya soka wataendelea kulia kila siku kwakuwa lazima tuwafunge ili waone namna gani sisi ni bora kuliko wao tunapokuwa dimbani".
“Sisi wote zamani tulikuwa timu moja ya Men Stone, ila tukaona hamu ya kuanzisha timu nyingine na kuitwa Masharobaro na kufanikiwa kuonyesha shauku yetu michezoni,” 
 
 alisema Gerevas.
Licha ya kuwa na shauku kubwa ya kuendeleza vipaji vyao, ila Gerevas ni miongoni mwa vijana wengi wanaoshindwa kuonyesha cheche zao kutokana na ukosefu wa mipango ya kukuza soka la vijana katika wilaya ya Handeni, mkoani Tanga.
 
Kwetu Tanga
 

Wednesday 4 September 2013

Tanapa yawataka wananchi kulima mazao mbadala



Swala

Twiga

Simba
Pangani. Hifadhi ya Taifa Tanapa, imewataka wananchi waishio karibu na
hifadhi za wanyamapori nchini, kubadilika na kuacha tabia ya kuishi kimazoea badala yake wawe wabunifu kwa kupanda mazao ambayo hayashambuliwi na wanyama waishio katika maeneo ya mbuga za wanyama.
Meneja Ujirani Mwema Taifa, Ahmed Mbugi alisema endapo wakazi wa maeneo jirani watapanda mazao kama ufuta, pilipili za kuwasha pamoja na miti ya kutanda itasaidia kuzuia njia za wanyama kupita kwenye maeneo yao.
Hayo aliyasema wakati wa mafunzo ya uandishi wa masuala ya hifadhi yaliyoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Vijijini na Mazingira na Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) wilayani Pangani hivi karibuni.

Tanga Kwetu

Sunday 1 September 2013

Mkurugenzi wa Uhamiaji Rwanda azuru Tanzania

Tembo wa Tanzania

 
 
 

Wakuu wa idara za Uhamiaji wa Rwanda Na Tanzania

Kamishna Mkuu wa Uhamiaji Tanzania, Mgnus Ulungi (kushoto) akizungumza na Mkurugenzi wa Uhamiaji Rwanda Kalibata Anaclet (Katikati) kuhusu masuala mbali ya uhamiaji wakati mkurugenzi huyo aliptembelea Makao Makuu ya Idara ya Uhamiaji, Kurasini, Dar es Salaam jana. (Picha na Uhamiaji)

Simba Jike na Dume