Wednesday 4 December 2013

The police also rescued 16 pregnant girls




The Imo State
Police Command, Monday, smashed another baby-making factory in Egbu, near
Owerri the State capital, arresting the proprietor, one Dr. James Ezuma who runs a
Non-Governmental Organization (NGO), and a clinic.
The
police also rescued 16 pregnant girls, including one whose two-hour old baby
girl was sold without her knowledge.

Leading
his Police Ambush Squad to the No. 40 Egbu Road beside Somachi Automobile
Market, Owerri, where Dr. Ezuma, a native of Ndiokeke Ndiakunwanta in
Arondizuogu, Ideato North LGA of Imo State, operated his NGO, Ezuma Women and
Children Right Initiative, the State Commissioner of Police, Mr. Mohammad
Katsina, also rescued a three-year-old boy who was also brought to the place
alongside his pregnant mother.

Our reporter observed that the 16 pregnant girls were kept in two rooms that had no
windows while repulsive odour oozed out from their rooms.

Speaking
with journalists after rescuing the victims, the commissioner of police said, Dr.
Ezuma, ”who has been very notorious for gun-running and trafficking of human
beings, was eventually apprehended at his residence by the Command Ambush Squad
on Tuesday 26th November, 2013 through credible intelligence.

He said the course of his arrest, search was conducted in his premises purportedly
registered as an office for an NGO, which turned out to be a baby factory,
where teenage girls are encouraged to get pregnant and take home the sum of
N100,000 at delivery, on the condition  that they would abandon their babies who would be eventually used for
purposes ranging from child trafficking to rituals.
The
police boss disclosed that the suspect was arraigned before an Owerri Chief
Magistrate Court 1 on November 1, 2013, for the offence of conspiracy and
unlawful possession of firearms.
He
said the pregnant girls rescued in the premises of Dr. Ezuma were aged between
14 and 19 years, and that after further search was conducted, an automatic
eight-loader pump action gun (which is prohibited) was found in his house.
The
CP stated that of major concern to his command was the fact that on November
24, 2013, one of the pregnant girls, Nnachi Chinaza from Ebonyi State, gave
birth to a baby girl, who was immediately snatched away by the said Dr. Ezuma
and sold to an unknown person.
He
said all efforts made by the police to find out the whereabout of the baby proved
abortive, as according to him, the said suspect had persistently refused to
lead the police to where he kept or sold the baby.
While
he was not ruling out investigation, Mr. katsina said the presumption at the
moment was that the said baby might have been used for ritual purposes.
He

therefore warned the general public to endeavour to keep an eye on their girls
so that they would not fall prey to such miscreants like Dr. Ezuma, who did not
mean well for the society.
The
police boss commended the state commissioner for women Affairs for revoking the
license of orphanage homes in the state and pledged to partner with her because
she had started on a good note.
Speaking
to Journalists, one of the victims whose child was snatched from her, Miss
Chinaza Nnachi said she was directed to come to the place by an aunt after her
boyfriend denied her pregnancy.
She
said amidst tears, that though she was given N100,000 after delivery, on the
promise that they would train her baby, but she never knew her baby would be
sold to unknown persons even without her consent.
Also
speaking, another victim, 18 year old Blessing Anyaike who came from Lagos,
told journalists that she became stranded when she got pregnant, but was
directed to the place with the promise that her child would be taken care of.
The
suspect while speaking to journalists insisted that he was not into child
trafficking, and that the child was given out for adoption on the consent of
the mother.
He
told journalists that the “missing child’ has been traced to Ozomagana street
in Onitsha” saying social welfare office, in Aba, Twin sisters Motherless Babies’
home Aba, gave the child out and that the girls were admitted as pregnant
women.
Other
items recovered from the suspect include, 10 exotic cars of different models.


Tembo

Monday 23 September 2013

AL SHABAAB NI NANI HASA?

 
 
 
 
 
 
Wamevamia jengo la kibiashara Nairobi na kuwaua watu 69 pamoja na kuwateka nyara baadhi.....

AL SHABAAB NI NANI HASA?

Ingawa kundi hilo limepoteza udhibiti baada ya majeshi ya AU kukabiliana nao nchini Somalia, inaarifiwa wameamua kutumia mbinu ya mashambulizi ya kuvizia kuendeleza harakati zao

http://www.bbc.co.uk/swahili/habari/2013/09/130923_alshabaab_kenya.shtmlWamevamia jengo la kibiashara Nairobi na kuwaua watu 69 pamoja na kuwateka nyara baadhi.....

AL SHABAAB NI NANI HASA?

Ingawa kundi hilo limepoteza udhibiti baada ya majeshi ya AU kukabiliana nao nchini Somalia, inaarifiwa wameamua kutumia mbinu ya mashambulizi ya kuvizia kuendeleza harakati zao

http://www.bbc.co.uk/swahili/habari/2013/09/130923_alshabaab_kenya.shtml

Saturday 21 September 2013

TANZIA

TANGA KWDETU

TANZIA

"Kwa ishirikiano wa Bliog za Tanga Kwetu, Zigua Simo na njero, Boshazi ondeZigua, Samba na Baragumu ya Mnyonge....wamestushwa na kifo cha Kamanda "


GEORGE JOHN LAIZER

 

Che.Andrew Kizenga Shundi

kwani Tarehe 17/09/2013 alitembelea BUGANGO BORDER na kuahidi yakuwa atakapo pata nafasi atatembelea eneo hili tena na kusema yakuwa alikuwa akisikia kituo hiki cha Bugango sasa leo amefika ...akasema kwakweli mimi siamini nitarudi tena....mwisho wa kauri yake kwakweli sisi wana bugango tunamuomboa apumzike mahali pema peponi..Amin

                      
                              

                                       



  • MPIGANAJI AFIA 'VITANI' AKILITETEA TAIFA LAKE
  • AMEACHA MKE NA WATOTO WAWILI.
  • AFISA UHAMIAJI MKOA WA KAGERA AONGOZA WAOMBOLEZAJI 
     
     
Idara ya Uhamiaji mkoa wa Kagera imekumbwa na simanzi na majonzi makubwa baada ya kumpoteza askari wake Mkaguzi wa Uhamiaji George John Laizer aliyefariki jana katika kituo cha Afya Bunazi wilayani Missenyi akisubiri matibabu. 
Marehemu Laizer alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kisukari ambapo inasemekana siku mbili kabla ya kifo chake alikuwa akiugua typhoid. Baada ya kwenda kituoni hapo kutibiwa hali yake ilibadilika ghafla jana asubuhi hali iliyopelekea akimbizwe kituo cha Afya kwa matibabu. Akiwa kituoni hapo, ndipo alipokata roho na kuiga dunia.
Marehemu Laizer ni mzaliwa wa mkoa wa Arusha mwaka 1970,  alipata elimu ya msingi  katika shule ya Mchombe mkoani Morogoro kuanzia mwaka 1979 hadi 1985. Mwaka 1986 hadi 1989 alipata elimu ya sekondari katika shule ya Vunjo.
Mnamo tarehe 12/12/1990, aliajiriwa rasmi kuwa afisa uhamiaji mara baada ya kumaliza mafunzo ya awali katika chuo cha polisi Moshi na kupangiwa kufanya kazi katika kituo cha Holili mkoa wa Kilimanjaro.
Marehemu ameacha mke na watoto wawili.Leo asubuhi mjini Bukoba katika ofisi za uhamiaji, Afisa Uhamiaji mkoa wa Kagera DCI. George Kombe aliongoza maofisa mbalimbali kutoka vyombo vya ulinzi na usalama na asasi za kiraia katika kuuaga mwili wa marehemu ambapo baadaye majira ya saa tano na nusu asubuhi ulisafirishwa kwenda Rusumo ambako huko pia ataagwa na hatimaye kusafirishwa nyumbani kwao mkoani Arusha kwa mazishi.
Blogu ya Bugango inaungana na wana-Uhamiaji katika wakati huu mgumu wa kuomboleza kuondokewa na kijana aliyekufa akilitumikia taifa lake katika oparesheni Kimbunga.
 
Askari wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama wakitoa heshima zao za mwisho kwa Kamana Laizer leo hii mjini Bukoba                                      
 
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI. AMEN
Mlima kilimanjaro
 

Wednesday 11 September 2013

SADC : KAGAME UKIISHAMBULIA TANZANIA, TUTAKUPIGA


 
 
 
 
Taarifa
 
Rwanda
SADC
 
Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) imetoa onyo kali kwa Rais wa Rwanda, Paul Kagame, kwa kumtaka aachane mara moja na na fikra zozote mbaya alizonazo ikiwamo mipango yake ya kuihujuma Serikali ya Tanzania na watu wake.

Onyo hili limefuatia nchi wanachama wa SADC kufuatilia kwa makini mzozo wa kidiplomasia ambao Kagame aeuiubua na amekuwa anaukuza hadharani na kichinichini dhidi ya Rais Jakaya Kikwete na Tanzania kwa ujumla.

Habari hizi zimetolewa na viongozi wa juu wa SADC na maofisa wa Serikali, waliokuwa katika ujumbe wa Rais Jakaya Kikwete alipokwenda kuhudhuria Mkutano wa viongozi wa Maziwa Makuu huko Uganda hivi karibuni. Aidha, imethibitishwa kuwa tayari Jumuiya hiyo imekwisha mpatia ujumbe huo mmoja wa mawaziri aliyekuwa ameandamana na Kagame muda mfupi baada ya kikao chake na Kikwete.

Kiongozi mmoja wa juu wa Msumbiji ambaye alikuwa pia Uganda, alikaririwa akimueleza Waziri aliyeandamana na Kagame kuwa “Nchi za SADC zinafahamu kuwa Rais Kagame hajafurahishwa na uamuzi wa Tanzania wa kupeleka vikosi vyake Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC. Hata hivyo Kagame anapaswa kuelewa kuwa ilichofanya Tanzania ulikuwa ni msimamo wa pamoja wa nchi za SADC."

Aidha Kiongozi huyo aliendelea kusema "hivyo basi vitisho au uvamizi wa kijeshi dhidi ya Tanzania utachukuliwa ni uvamizi dhidi ya SADC, na tutakuwa tayari kuingia vitani kupigana upande wa Tanzania.”
 
 

Sunday 8 September 2013

KOMSALA WILAYANI HANDENI....Yatoa somo.

 
 
 
Sharobaro
 
MSHAMBULIAJI hatari wa timu ya Mashorobaro iliyopo kijiji cha Komsala, wilayani Handeni, mkoani Tanga, Malilo Gerevas, amesema kwamba wataendelea kuwanyanyasa watani wao wa jadi, Men Stone kwa kuwafunga kila wanapokutana uwanjani.
Timu zote mbili zinapatikana katika kijiji hicho kinachotajwa kuwa na msisimko wa aina yake katika mpira wa miguu kiasi cha kuleta raha kwa wadau wa michezo     maeneo hayo.
Akizungumza na Handeni Kwetu Blog kijijini kwao juzi, Gerevas alisema kwamba wao wana timu nzuri na iliyosheheni vijana wadogo, jambo linalowafanya wawe na kasi uwanjani.
“Wale ni ndugu zetu lakini katika masuala ya soka wataendelea kulia kila siku kwakuwa lazima tuwafunge ili waone namna gani sisi ni bora kuliko wao tunapokuwa dimbani".
“Sisi wote zamani tulikuwa timu moja ya Men Stone, ila tukaona hamu ya kuanzisha timu nyingine na kuitwa Masharobaro na kufanikiwa kuonyesha shauku yetu michezoni,” 
 
 alisema Gerevas.
Licha ya kuwa na shauku kubwa ya kuendeleza vipaji vyao, ila Gerevas ni miongoni mwa vijana wengi wanaoshindwa kuonyesha cheche zao kutokana na ukosefu wa mipango ya kukuza soka la vijana katika wilaya ya Handeni, mkoani Tanga.
 
Kwetu Tanga
 

Wednesday 4 September 2013

Tanapa yawataka wananchi kulima mazao mbadala



Swala

Twiga

Simba
Pangani. Hifadhi ya Taifa Tanapa, imewataka wananchi waishio karibu na
hifadhi za wanyamapori nchini, kubadilika na kuacha tabia ya kuishi kimazoea badala yake wawe wabunifu kwa kupanda mazao ambayo hayashambuliwi na wanyama waishio katika maeneo ya mbuga za wanyama.
Meneja Ujirani Mwema Taifa, Ahmed Mbugi alisema endapo wakazi wa maeneo jirani watapanda mazao kama ufuta, pilipili za kuwasha pamoja na miti ya kutanda itasaidia kuzuia njia za wanyama kupita kwenye maeneo yao.
Hayo aliyasema wakati wa mafunzo ya uandishi wa masuala ya hifadhi yaliyoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Vijijini na Mazingira na Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) wilayani Pangani hivi karibuni.

Tanga Kwetu

Sunday 1 September 2013

Mkurugenzi wa Uhamiaji Rwanda azuru Tanzania

Tembo wa Tanzania

 
 
 

Wakuu wa idara za Uhamiaji wa Rwanda Na Tanzania

Kamishna Mkuu wa Uhamiaji Tanzania, Mgnus Ulungi (kushoto) akizungumza na Mkurugenzi wa Uhamiaji Rwanda Kalibata Anaclet (Katikati) kuhusu masuala mbali ya uhamiaji wakati mkurugenzi huyo aliptembelea Makao Makuu ya Idara ya Uhamiaji, Kurasini, Dar es Salaam jana. (Picha na Uhamiaji)

Simba Jike na Dume

Saturday 31 August 2013

.....BURIANI ASKOFU MOSES KULOLA WA ......(EAGT)

 
 
 
 
 
RAIS JAKAYA KIKWETE AMLILIA ASKOFU MOSES KULOLA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ameshtushwa na kuhuzunishwa na taarifa za kifo cha Kiongozi wa Kanisa la Evangelistic Assemblies of God Tanzania (EAGT) Askofu Mkuu Moses Kulola ambaye ameafariki jana Agosti 29, 2013 katika Hospitali ya AMI iliyoko Masaki mjini Dar Es Salaam akiwa na umri wa miaka 84.

Rais kikwete ameelezea mshtuko na huzuni yake katika Salamu za Rambirambi alizomtumia Katibu Mkuu wa Kanisa hilo Bwana Brown Mwakipesile kufuatia kifo cha Askofu Mkuu Kulowa.  

“Nimeshtushwa, nimesikitishwa na kuhuzunishwa sana na taarifa za kifo cha Mtumishi wa Mungu wa muda mrefu na Askofu Mkuu wa Kanisa la Evangelistic Assemblies of God Tanzania (EAGT), Marehemu Moses Kulola kutokana na maradhi yaliyomfanya wakati fulani apelekwe hadi India kupatiwa matibabu” amesema Rais Kikwete.

Rais Kikwete amesema alimfahamu Marehemu Askofu Moses Kulola kwa miaka mingi wakati wa enzi za uhai wake, kama Mtumishi Hodari wa Kiroho aliyejitoa vilivyo katika kuwahudumia Waumini wa Kanisa lake ambapo mahubiri yake yametoa mchango mkubwa katika kuimarisha imani za Waumini wake na kusaidia kwa kiasi kikubwa katika kudumisha amani na utulivu wa nchi yetu. 

Aidha Rais Kikwete amesema kifo cha Askofu Mkuu, Moses Kulola kimeacha pengo kubwa siyo tu kwa Waumini wa Kanisa lake hapa nchini, bali pia miongoni mwa wapenda amani kote nchini na kwingineko duniani kwa vile enzi za uhai wake, Marehemu aliweza kufikisha ujumbe muhimu wa kiimani kupitia mahubiri yake kwa watu wa mataifa mbalimbali ndani na nje ya  Bara la Afrika.

“Kwa niaba yangu mwenyewe na Serikali ninayoingoza, ninakutumia wewe Katibu Mkuu wa Kanisa la Evangelical Assembies of God Tanzania, Bwana Brown Mwakipesile na Waumini wote wa Kanisa hilo Salamu za Rambirambi  kutoka dhati ya moyo wangu kwa kumpoteza Kiongozi muhimu wa Kiroho.  Ninawajulisha kuwa niko nanyi katika wakati huu mgumu kwa sababu msiba wenu ni msiba wetu pia. Sala na mioyo yetu iko nanyi wakati wa maombolezo ya kifo cha Kiongozi huyo shupavu wa dini. Nawaomba wote muwe wavumilivu na wenye subira kwani yote ni Mapenzi yake Mola”, amesema Rais Kikwete.

“Vilevile kupitia kwako, naomba unifikishie Salamu zangu za Rambirambi na pole nyingi kwa familia, ndugu na jamaa wa Marehemu, Askofu Mkuu, Moses Kulola kwa kumpoteza Baba, Kiongozi Shupavu na Mhimili wa familia.  Natambua fika kwamba hiki ni kipindi kigumu sana kwao cha maombolezo.  Natambua machungu yenu wakati huu na naungana nanyi katika kumwomba Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema aiweke peponi roho ya Marehemu Moses Kulowa. Amina.”

Mazishi ya Marehemu, Askofu Mkuu wa Kanisa la Evangelistic Assemblies of God Tanzania (EAGT) yatafanyika mjini Mwanza Jumatano ijayo tarehe 4 Septemba, 2013.  Heshima za mwisho kwa mwili wa Kiongozi huyo zitatolewa siku ya Jumamosi tarehe 31 Agosti, 2013 katika Kanisa la EAGT karibu na Hospitali ya Temeke kuanzia saa 2.00 asubuhi hadi saa 6.00 mchana.    

Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
Dar es Salaam.
29 Agosti, 2013

*** Na hapa dar24.com tunamwombea Askofu Moses Kulola apumumzike kwa amani. ******
 
 
 
 
 
 
 
 RAIS JAKAYA KIKWETE AMLILIA ASKOFU MOSES KULOLA

 
 
 
 
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ameshtushwa na kuhuzunishwa na taarifa za kifo cha Kiongozi wa Kanisa la Evangelistic Assemblies of God Tanzania (EAGT) Askofu Mkuu Moses Kulola ambaye ameafariki jana Agosti 29, 2013 katika Hospitali ya AMI iliyoko Masaki mjini Dar Es Salaam akiwa na umri wa miaka 84.

Rais kikwete ameelezea mshtuko na huzuni yake katika Salamu za Rambirambi alizomtumia Katibu Mkuu wa Kanisa hilo Bwana Brown Mwakipesile kufuatia kifo cha Askofu Mkuu Kulowa. ...Continue Reading
 
 
 
 
UMA WAMLILIA
ASKOFU MOSES KULOLA

Sunday 25 August 2013

Kamati Kuu yamzuia Kagasheki kushiriki siasa mkoani Kagera



Tembo


Dodoma. Suala la kutimuliwa kwa madiwani wanane wa CCM katika Manispaa ya Bukoba limeingia sura mpya baada ya Kamati Kuu kuwazuia Meya, Dk Anatory Amani na Mbunge wa Bukoba Mjini, Balozi Khamis Kagasheki kushiriki katika siasa mkoani humo hadi mwaka 2015.
Habari zilizopatikana kutoka ndani ya kikao hicho zinaeleza kuwa uamuzi huo umefikiwa baada ya kubainika mgogoro wa viongozi hao, unakiumiza chama katika jimbo hilo.
Taarifa zilidai chanzo cha ugomvi kati ya Balozi Kagasheki na Dk Amani, ni kwa kila mmoja kutaka kugombea nafasi ya ubunge Jimbo la Bukoba mjini katika uchaguzi ujao. Na kwa uamuzi huo, Kagasheki na Dk Amani hawatashiriki uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.
Hata hivyo, akitangaza uamuzi huo jana, Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye alisema viongozi hao watakutana na Kamati Kuu leo na baada ya hapo utatangazwa uamuzi uliofikiwa.
Mbali na meya na mbunge huyo ambaye pia ni Waziri wa Maliasili na Utalii, wengine walioitwa katika kikao hicho cha leo ni Mwenyekiti wa CCM mkoani humo, Costansia Buhinye, katibu wake, Averin Mushi pamoja na mwenyekiti wa chama Wilaya ya Bukoba, Yusuph Ngaiza na katibu wake, Janath Kayanda.
Kutokana na uamuzi huo, Kamati Kuu ambayo ilimaliza kikao chake saa 8:30 usiku wa kuamkia jana italazimika kukaa tena leo kuwaelezea uamuzi uliofikia.
Kumekuwapo na mgogoro mkubwa katika Baraza la Madiwani wa Manispaa ya Bukoba, ukimuhusisha Kagasheki na baadhi ya madiwani kwa upande mmoja; na Dk Amani na kundi jingine la madiwani kwa upande mwingine.
Wakati wa mgogoro huo madiwani wamekuwa wakituhumiana ufisadi, na CCM imekwishawatuma viongozi wake wa juu kuingilia kati mgogoro huo akiwamo mwenyekiti wake, Rais Jakaya Kikwete, lakini hakuna mafanikio yaliyopatikana.
Kufikishwa kwenye Kamati Kuu kwa suala hilo kumekuja baada ya uongozi wa CCM Mkoa wa Kagera kuamua kuwatimua uanachama madiwani hao, hatua ambayo ilikuwa inahatarisha nafasi zao na hivyo kukiingiza chama hicho kwenye uchaguzi mdogo.
Habari kutoka ndani ya vikao hivyo zinasema kuwa kuna uwezekano mkubwa kwa viongozi hao kuwajibishwa kwa kukiuka kanuni, kwa kuwa upo uamuzi wa chama unaokataza viongozi waliochaguliwa katika vyombo vya dola kuwajibishwa kwa staili hiyo.
Madiwani waliovuliwa uanachama na kata zao katika mabano ni pamoja na Richard Gaspar (Miembeni ), Murungi Kichwabuta (Viti Maalumu), Alexander Ngalinda ambaye pia ni Naibu Meya (Buhembe) na Yusuf Ngaiza ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya (Kashai).
Wengine ni Deusdedit Mutakyahwa (Nyanga), Robert Katunzi (Hamugembe), Samwel Ruhangisa (Kitendaguro) na Dauda Kalumuna (Ijuganyondo).


Dodoma. Suala la kutimuliwa kwa madiwani wanane wa CCM katika Manispaa ya Bukoba limeingia sura mpya baada ya Kamati Kuu kuwazuia Meya, Dk Anatory Amani na Mbunge wa Bukoba Mjini, Balozi Khamis Kagasheki kushiriki katika siasa mkoani humo hadi mwaka 2015.
Habari zilizopatikana kutoka ndani ya kikao hicho zinaeleza kuwa uamuzi huo umefikiwa baada ya kubainika mgogoro wa viongozi hao, unakiumiza chama katika jimbo hilo.
Taarifa zilidai chanzo cha ugomvi kati ya Balozi Kagasheki na Dk Amani, ni kwa kila mmoja kutaka kugombea nafasi ya ubunge Jimbo la Bukoba mjini katika uchaguzi ujao. Na kwa uamuzi huo, Kagasheki na Dk Amani hawatashiriki uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.
Hata hivyo, akitangaza uamuzi huo jana, Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye alisema viongozi hao watakutana na Kamati Kuu leo na baada ya hapo utatangazwa uamuzi uliofikiwa.
Mbali na meya na mbunge huyo ambaye pia ni Waziri wa Maliasili na Utalii, wengine walioitwa katika kikao hicho cha leo ni Mwenyekiti wa CCM mkoani humo, Costansia Buhinye, katibu wake, Averin Mushi pamoja na mwenyekiti wa chama Wilaya ya Bukoba, Yusuph Ngaiza na katibu wake, Janath Kayanda.
Kutokana na uamuzi huo, Kamati Kuu ambayo ilimaliza kikao chake saa 8:30 usiku wa kuamkia jana italazimika kukaa tena leo kuwaelezea uamuzi uliofikia.
Kumekuwapo na mgogoro mkubwa katika Baraza la Madiwani wa Manispaa ya Bukoba, ukimuhusisha Kagasheki na baadhi ya madiwani kwa upande mmoja; na Dk Amani na kundi jingine la madiwani kwa upande mwingine.
Wakati wa mgogoro huo madiwani wamekuwa wakituhumiana ufisadi, na CCM imekwishawatuma viongozi wake wa juu kuingilia kati mgogoro huo akiwamo mwenyekiti wake, Rais Jakaya Kikwete, lakini hakuna mafanikio yaliyopatikana.
Kufikishwa kwenye Kamati Kuu kwa suala hilo kumekuja baada ya uongozi wa CCM Mkoa wa Kagera kuamua kuwatimua uanachama madiwani hao, hatua ambayo ilikuwa inahatarisha nafasi zao na hivyo kukiingiza chama hicho kwenye uchaguzi mdogo.
Habari kutoka ndani ya vikao hivyo zinasema kuwa kuna uwezekano mkubwa kwa viongozi hao kuwajibishwa kwa kukiuka kanuni, kwa kuwa upo uamuzi wa chama unaokataza viongozi waliochaguliwa katika vyombo vya dola kuwajibishwa kwa staili hiyo.
Madiwani waliovuliwa uanachama na kata zao katika mabano ni pamoja na Richard Gaspar (Miembeni ), Murungi Kichwabuta (Viti Maalumu), Alexander Ngalinda ambaye pia ni Naibu Meya (Buhembe) na Yusuf Ngaiza ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya (Kashai).
Wengine ni Deusdedit Mutakyahwa (Nyanga), Robert Katunzi (Hamugembe), Samwel Ruhangisa (Kitendaguro) na Dauda Kalumuna (Ijuganyondo).

chui

Albino waomba Serikali kuwapa elimu siyo misaada





Adhuhuri




Tanga. Chama cha Albino Mkoa wa Tanga (Tas), kimeomba Serikali
kuwatatulia kero zinazowakabili ikiwamo kuwezeshwa ili kujikimu na kuondokana na kutegemea misaada.
Akizungumza kwenye kongamano la kujadili changamoto zinazowakabili albino kuhusu afya na elimu, Katibu wa Tas Tanga, Innocent Haule, alisema Serikali haijawa tayari kuwasaidia.
Haule alisema jamii hiyo imekuwa ikikabiliwa na changamoto ambazo Serikali imekuwa ikiwaahidi bila mafanikio na kwamba, inatakiwa kutekeleza ahadi zake.
Alitaja ahadi hizo kuwa ni kuwezeshwa kupata miradi yake, ambayo itasaidia kuondoa umaskini unaowakabili.
Awali, Mwenyekiti wa chama hicho, Nuru Shebula, aliwataka wazazi wenye watoto wenye ulemavu wa ngozi kuwapeleka vituoni ili kutambuliwa. Alisema baadhi ya wazazi wamekuwa wakiwafungia ndani watoto wao, kuwanyika haki ya kupata elimu.
Mamba

Hoja ya Muungano inavyowavuta Watanzania katika mitandao ya kijamii

KWETU TANGA

 

 

MUUNGANO wa Bara na Visiwani umekuwa ukikumbwa na mfadhaiko mkubwa kutokana na baadhi yao kuuponda kwa sababu wanazojua wao.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete
Katika mitandao ya kijamii watu wengi wamekuwa wakiujadili kila wanavyoweza. Handeni Kwetu Blog imeona ipost maoni ya Watanzania hao juu ya mkanganyiko huo wa Muungano kwa faida ya wote.
Maoni haya yamechukuliwa katika group linalojulikana kama Tanuru la Fikra, huku tukiamini kuwa tutafahamu japo kwa kiasi kidogo jinsi Muunganao huo unavyochukua nafasi ya kujadiliwa.
Hii ndio hoja iliyoingizwa na Abdul Hakeem
na kufuatiwa na maoni ya wengine hapo chini.
Hivi ikitokea TANZANIA ikaongozwa na rais mzanzibari.waziri mkuu mzanZibari.gavana mZanZibari.mabalozi karibu wote wa nje wawe wazanzibar.benki kuu iweko zbr .mji mkuu uwe zbr na mfano wa mambo hayo yaweko zbr. .jee WATANGANYIKA WATAENDELEA KUUPENDA MUUNGANO NA KUJIVUNIA UTANZANIA??
https://fbexternal-a.akamaihd.net/safe_image.php?d=AQApeiGpDHSxjf-c&url=https%3A%2F%2Ffbstatic-a.akamaihd.net%2Frsrc.php%2Fv2%2Fyo%2Fr%2FOKB7Z2hkREe.png

Omar Salim Shakur Shakur muungano haujaanza kukataliwa kwasababu etiya mafuta wazanbar wameanza kuukataa muunga tokea rais jumbe fisadi nyerere alipogundua akamfukuza abdul jumbe kwenye chama na kumueka chini ya ulinzi


Abdul Hakeem AMAN NGOSI zanzbr inanyimwa fursa za kujikwamua kiuchumi licha yakua na rasilimali nyingi na za kutosha kuwatumikia watu wake ambao ni milion moja.tuna bahari kubwa yakutosha.ni eneo zuri la biashara kwa AFRICA MASHARIKI /KUSINI.tuna ardhi nzuri ya kul...See More

Frank Mathias ha ha ha ha ha ha ha ha ha aiseee kweni zanzibar inaiongezea nn tanzania kuwa muungano ukivunjika itakuwa msala kivileee

Zarafi Rashidi faida ya muungano ipo unadhan wakiuvunja watanganyika wamezaa na wazbr na wengine wameweka makaz znbr tumien akil tujikomboe kiuchum hata watalii watatushangaa vikund vya wa2 wachache visitugombanishe

Omar Salim Shakur Shakur tatizo watanganyika asilimia kubwa ni waporipori hususan wanaochangia hii mada

Isaac Nyirenda Kanyunya Kwani Muungano ni chupa ya chai ambayo tumeishika wabara kwamba mnashindwa kutupokonya mkaivunja au!? FANYENI MAPINDUZI HUKOHUKO KWENU ANGUSHENI SERIKALI MUWEKENI PONDA HAPO JUU FULLSTOP. Au kaeni chini ongeeni na rais wenu ateuwe mawaziri wake mjenge wizara zote, mteue mkuu wa majeshi na polisi pia na mambo kama hayo then MKOMESHENI ASIJE BARA MBAKI HUKO HUKO. Muone kama sisi TUTALALAMIKA AU KUANZA VITA!

Peter Mwambola Mi mwenyewe MUUNGANO siutaki kabisa basi tu sina la kufanya tu naongea toka moyoni kabisa

Mathewricky Don Yungweogenesis Sawa baba yetu wa taifa ni fisadi ila wa kwenu mtatawaliwa mpaka na vitukuu na vilembwe vyake vyote pumbafu ninyi. Si mkae kimya msije huku fungeni mipaka wa huko wa huko wa huku wa huku sio mikeleleee tatzo lenu wengi wenu hamjitambui matokeo yake wac...See More

Omar Salim Shakur Shakur tatizo watanganyika asilimia kubwa ni waporipori hususan wanaochangia hii mada

Marryape la Uniquebabe Kua na wafanyakazi wa kibongo n kosa la nani????? Nyie bwana mbona wazenji kibao mnasoma kwe vyuo vyetu na ndo jambo la mcng lkn hakuna anaewafukuza wala kuhoji???bhana eeehhh km vp fanyeni yenu mctupigie kelele

Abdul Hakeem kama tanganyk hainufaiki na muungan kwanni NYERERE alikataa serikali tatu?na kwanini watanganyika ndio wanaoupenda muungano?

Frank Mathias we jamaa haujielewi aisee @omary

Omar Salim Shakur Shakur isaac unaongea usilolijua tunasubirikura ya maoni fullstop

Magdalena Ngonyani yes marryape, wao wamejaa sana huku bara sisi hatusemi, vyuo vyote wamevijaza na asilimia za bodi ya mikopo wanachukua kubwaa, mfano mzuri chuo cha UDOM masters wamejaa wazenji tu robo tatu nzima

Isaac Nyirenda Kanyunya We Abdul hayo mafuta yako wapi tusiotaka kuwaachia!!?? Hiyo 80% ya wafanyakazi inatoka bara kwakuwa wapemba wote hawajasoma hawawezi kuongea na watalii wao wamekimbilia Bara huku kuja kufungu Magenge na maduka sasa cha ajabu nini hapo!!!??
 
 
 
Punda milia wa Tanzania