Sunday 1 September 2013

Mkurugenzi wa Uhamiaji Rwanda azuru Tanzania

Tembo wa Tanzania

 
 
 

Wakuu wa idara za Uhamiaji wa Rwanda Na Tanzania

Kamishna Mkuu wa Uhamiaji Tanzania, Mgnus Ulungi (kushoto) akizungumza na Mkurugenzi wa Uhamiaji Rwanda Kalibata Anaclet (Katikati) kuhusu masuala mbali ya uhamiaji wakati mkurugenzi huyo aliptembelea Makao Makuu ya Idara ya Uhamiaji, Kurasini, Dar es Salaam jana. (Picha na Uhamiaji)

Simba Jike na Dume

No comments:

Post a Comment