Thursday 22 August 2013

MKAPA NA MWINYI WAWASILI LIVE ZIMBABWE

 

 
Tanzania

 

MKAPA NA MWINYI WAWASILI LIVE 

ZIMBABWE KUHUDHURIA KUAPISHWA 

JONGWE

 

KWA MUGABE AT AGE 89!!




Marais Wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na Mzee Benjamin William Mkapa na wake zao, Mama Sitti Mwinyi na Mama Anna Mkapa, wakiondoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kuelekea Harare, Zimbabwe, kushiriki katika sherehe ya kuapishwa kwa Rais wa Zimbambwe, Mhe Robert Mugabe, inayotarajiwa kufanyika kesho Alhamisi Agosti 22, 2013


Marais Wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na Mzee Benjamin William Mkapa na wake zao, Mama Sitti Mwinyi na Mama Anna Mkapa, wakiwasili katioka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Harare, Zimbabwe, walikoalikwa kushiriki katika sherehe ya kuapishwa kwa Rais wa Zimbambwe, Mhe Robert Mugabe, inayotarajiwa kufanyika kesho Alhamisi Agosti 22, 2013.PICHA NA IKULU
Karibu Tanzania
 


No comments:

Post a Comment