Saturday 20 July 2013

HAPA NANI MJINGA ZAIDI?

 
 
 
 
HAPA
NANI
MJINGA

ZAIDI?

Mmoja alionekan na birika anamwagilia maji kwenye bustan huku mvua inanyesha alipoulizwa akasema mvua ni mvua na maji ni maji

Wa pili kaona embe juu ya mwembe akajiuliza imewiva au mbichi,akapanda-juu akaona imewiva akateremka akakusanya mawe akaanza kutungua,

W tatu kaona kitu kam kimefanana na mavi akajiuliza haya mavi au udongo akatia kidole akalamba alipoona ni mavi akasema ni mavi nashukuru sikuyakanyaga.....Hahahahahahahaahahaahahaa......weeeeekend njema

No comments:

Post a Comment