Thursday 20 June 2013

KWETU TANGA & BOSHAZI Blog...wawakaribisha ICT Officer's


BUGANGO BORDER:

wakipewa taarifa

picha ya pamoja

wakiwa ndani ya gari

wakisain kitabu cha mapokezi





BUGANGO BORDER:



BUGANGO BORDER: yatembelewa na wageni wa ICT –kitoka HQ Dar-Es salam Ofisi ya Uhamiaji Mkoa wa mawanza….na Ofisi ya Uhamiaji Mkoa wa Kagera wakagua Ofisi wajitambulisha wafurahia sana na kudai yakuwa Idara ya Uhamiaji ni kila kona ya Tanzania ….Pia viongozi wa Blog ya Boshazi na Kwetu Tanga wakishirikiana na Uongozi wa Bugango Border wapongeza sana ujio wao na kukiri ya kuwa safari yao ni changamoto kwa wana BUGANGO……
Ujimbe huo ulikuwa na watu wafuatao:-
*      MOHAMEDI AWESU…….SSIS (ICT) HQ-Dar es salaam,
*      ALI  A. ALI…………CBMM (AIIS) Mwanza,
*      RODERN L. MTULO…….ICT HQ DSM,
*      MABROUK A. KHAMIS………..ICT HQ DSM,
*      SAULO KASHEKE …….(MT),
*      ABDALLAH M NASSORO- BUKOBA

Ziara yao imetembelea Mkoa mzima wa Kagera Ulio na Ofisi za Uhamiaji na kukagua huduma zao za ICT….uongozi wa Bugango border ume wapokea na una wakaribisha tena mkoani kagera…


1 comment: