Tuesday 2 July 2013

WATANZANIA NA WAMAREKANI .....walipuka kwa furaha!!!!....HONGERA WAZIRI MEMBE


OBAMA  AWASILI TANZANIA
Watanzania watokwa na machozi kwa kumkubali kama yeye alivyo tukubali sisi watanzania wlipuka kwa furaha na kusema HESHIMA HII ALIYOTUPA RAIS OBAMA TUTAMLIPA NINI?!!!! itakuwa uridhi kwetu na vizazi vyetu na kuendelea kwa kusema sisi watamzania si nchi ya kufikilika bali ni nchi ya kuthminika
Raisi wa taifa kubwa hili la Marekani alijitahidi kwa kujikakamua kwa kusalimia watanzania kwa ligha ya Kiswahili

 …….JAMBO BWANA SHIKAMOOO!!! NAWAPENDASANA WATANZANIA     na
 kadhatiaka hayo ni maneno yaliyokuwa yakisikika yakiteka kinywani Mwake yeye mwenyewe …..palikuwaepo kijana mmoja pembeni yango na kumtonya 


mwana Blog hizi za BOSHAZI.
ZIGUA SIMO NA NJERO, NA KWETU TANGA…..Alisema jamani kumbe mimi nilidhani Rais Obama ni mzungu kumbe ni sawa na sisi ngozi yake nywele zake hata majivuno yake ni yaleyale ya Kiafika alihoji kijana huyo mimi nime bahatika kumgusa mkono wake kwahio watu wa mtaani kwetu watanikoma …..lakini hivi imekuwaje Rais wa taifa kubwa kama hili kuamua kuja kututembelea sisi walala hoi na akaungana nasi kama baba yetu, kaka yetu, au kama jamaa yetu?  Na wakati sisi tumekuwa tukidharau umoja wetu huu wa Tanzania ………Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania akipungia na mgeni wake wa Taifa kubwa la Marekani  U.S.A
Maraisi hao wawili na wake zao mama kikwete na mama Obama….Tuna muomba mungu ziara hii ihitimike kwa amani na furaha kubwa kwa kukubalika kimataifa “Tumpongeze sanasana wazili Membe kwa kutuandalia hili……..”

No comments:

Post a Comment