Monday 27 May 2013

PICHA ZA MATUKIO YA VURGU MTWARA

Tunaiombea Tanzania amani na upendo tuepushe haya yanayo endelea hiko mtwara
Yaliyo tokea Mtwara uharibifu wa majumba na mali za serekali
Mtaa ukiwa kimya kabisa wakati oparesheni ya kuwasaka walio fanya uharibifu Mtwara katika sakata la Gesi ya mtwara......vijana waki shanga wasijue nini la kufanya...

Mikusanyika ya vijana wasio na kazi wakitupa mawe na kufanya vurugu katika viunga vya Mtwara




Uchomaji wa matairi Barabarani wakati barabara zikiwa hazina watu hata mmoja wakihofia kukamatwa na askari walinda amani mjini Mtwara


Nidhahiri uharibifu ulikuwa mkubwa katika viunga vya mji wa Mtwara ...uharibifu uliotendwa nidhahili sisi walipakodi na kuhalibiwa mali za serikali tunao umia ni sisi wafanyakazi tunao lipa kodi

No comments:

Post a Comment